bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Mwanamke akifikia hatua ya kuchakachua NDOA yake lazima kuna jambo. Wanaume wengine wana tabia mbaya, wanajifanya wajanja sana kumbe wajinga; wewe unamfahamu mumeo vilivyo kwa kazi; mara ghafla Ooh!!!!!!! nimechoka sana leo!!! sijui kichwa kinaniuma!!!!!!!!!!!mara kaja kalewa chakari kumbe uongo katoka kuchakachua huko nje na mwanaume mwenye tabia hiyo ukitaka kufanya mazungumzo naye kuhusu tabia yake mpya aliyoianzisha; basi ni mkali kama MBOGO!!!!!!!!!!!!Asilimia kubwa wanawake wakishaona hivyo wanajua tayari anaibiwa, hivyo naye anatafuta wa kumfariji.!!!!!!!!!!!!!!!"USILOPENDA KUFANYIWA WEWE, BASI USIMFANYIE MWENZIO" Habari ndio hiyo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wewe nawe ukiona unaibiwa huwa unatafuta mwanaume mwingine wa kukufariji au?