Simu za iphone kwa hili litaleta kelele sasa, hairuhusiwi kutumia fundi asiesajiliwa

IPhone 6 yangu imeleta error code 4005. Mafundi kama watatu imewashinda kutengeneza wanasema niipeleke kwa mafundi wa Apple store. Si mtihani huu sasa.
 
wamefanya vizuri sana!
magari, tv,na vifaa Vingi sana uhai wake hufupishwa kwa kufunga spare ambazo sio ORIGINAL,mf. kifaa flani kinatakiwa kufungwa resistor itakayopitisha 2.3 pekee!
mafundi wetu hufunga ya 2.4 mpk .7 definitely kifaa kitaoparate lakini maafa yake sasa kwa vifaa vingine na lifespan kwa ujumla.
 
IPhone 6 yangu imeleta error code 4005. Mafundi kama watatu imewashinda kutengeneza wanasema niipeleke kwa mafundi wa Apple store. Si mtihani huu sasa.
0713276716 wasiliana na huyo mtu atakusaidia ni fundi wa apple
 
Hata ukiset date Iphone...ipad...na ipod ... tarehe 1 january 1970 ina brick itakapofanya Reboot..
 
Hawa Apple ni wndawazi, yaani ukinunua Simu yao tu, wewe ushakuwa wanakumiliki hunamaamuzi tena, lazima ufanye watakavyo wao kwenye simu yako mwenyewe.
Pumbavu zao.
waafrika shida umasikini bwana
 
ndo maana sinaga kabisa hata wazo la kununua iphone, mambo ya ku update os kila mara yalinishinda. pole yenu kwa watumiaji wa iphone, lakin naamin kama umeweza kununua iphone 6 bas utaweza kumudu garama za matengenezo, labda kama ulinunua kwa kufuata mkumbo, akat hela yako ya kuungaunga. we ndo itakula kwako.
sema huna hela tu ungekuwa unazo ungenunua tu
 
Dawa ni kutonunua tu, kama ilivyokuwa kwa bbm manake ilikuwa haipatikani Kwa google store mpaka ununue simu zake alipoona watu hawanunui na mauzo yameshuka kaweka kwa google store
 
UR TALKING ABOUT THE MOST VALUABLE CO IN THE WORLD !

Kampuni Kama hii ina haki zote za kufanya inachokifanya ili Kuua pirating , cloning , faking n.k
 
Wacha niendelee kujiachia na hii simu yangu yenye Android OS maana hapa mtaani kwangu tu mafundi wasiopungua 10,ukienda Kariakoo ndio usiseme,wameshasahau kilichowakuta Blackberry,kifo chao kiko njiani.
 
Mi cipendeleagi apple, hata ukinipa bure sitaki..... Ingekuwa ni samsung ndio wamezingua hapo moyo ungeenda mbio lakini apple wala sina muda nao....
 
Apple sio kwa watu masikini masikini wa kipato
Apple wanamelenga wateja wanaojiweza tu na ndio maana wana product moja tu ya simu yaanj high end

Sasa wale wenzangu na mimi simu ikiharibika unakimbilia spea za kichina apple wamesema big no, maana mavifaa haya yaneweza kutumika kubypass security za apple

Usiwalaumu apple laumu uwezo wetu mdogo
Ila wewe si unayo iPhone mkuu? Unaweka spea zipi?
 
Sio kila ukikubaliana na terms and conditions unakosa haki ya kushtaki...
Sasa braza kama umekubaliana na sharti lao linaloagiza utumiaji wa vifaa na utengenezaji wa simu kwa official/authorised dealers, utawashtaki vipi hapo?
 
Wacha niendelee kujiachia na hii simu yangu yenye Android OS maana hapa mtaani kwangu tu mafundi wasiopungua 10,ukienda Kariakoo ndio usiseme,wameshasahau kilichowakuta Blackberry,kifo chao kiko njiani.
utasubili sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom