Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Kama unatumia simu ya line mbili, ukifika mbagala, kuanzia mtoni na kuendelea kama unatokea mjini, mitandao yote haifanyi kazi ispokuwa tigo tu.
Tatizo hili lilianza siku ile ya mabomu ya kwanza, tumewaeleza jamaa wa voda, zain na zantel, wao wanajibu kwa jeuri kuwa sisi tunatumia simu za kichina za bei nafuu.
Kama ndivyo, mbona ukiwa nje ya mbagala hizo simu za kichina za bei nafuu zinashika line zote 2?????.
Tatizo hili lilianza siku ile ya mabomu ya kwanza, tumewaeleza jamaa wa voda, zain na zantel, wao wanajibu kwa jeuri kuwa sisi tunatumia simu za kichina za bei nafuu.
Kama ndivyo, mbona ukiwa nje ya mbagala hizo simu za kichina za bei nafuu zinashika line zote 2?????.