Mkuu usipoagiza kutoka nje utatumia magunzi kama simu? coz, hatuna chochote humu ndani tunachotengeneza zaidi ya yeboyebo. Ukiwaambia Nyumbe watengeneze simu wanaweza, lakini zitakuwa kubwa kama kiatu na hazitabebeka@!!!tehe tehe!1
VIpi tena Aza wamefanya nini?waarabu hureeeey
sasa pesa zetu wanaturudishia au inakuwaje maana b/berry tumezinunua ati?