trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Jamani.. Nimetumiwa zawadi ya simu hiyo hapo juu. Tatizo ni kwamba,access ya internet nimepata siku 3 tu za mwanzo kwa laini ya voda,halafu ikagoma.Hata ile alama ya 3G siipati. Nikaweka ya tiGO nayo ikagoma. Mpaka leo sina access. Pls nisaidieni.