ili umpe mpenzi wako?pole
Wadau nimewahi kusikia kua kuna simu sijui ya kampuni gani ambayo inauwezo wa kusave sms hata kama umezifuta inbox au sent sms.Naomba anayefahamu anitajie ni simu ya kampuni gani na code number yake nataka nikainunue.
Wadau nimewahi kusikia kua kuna simu sijui ya kampuni gani ambayo inauwezo wa kusave sms hata kama umezifuta inbox au sent sms.Naomba anayefahamu anitajie ni simu ya kampuni gani na code number yake nataka nikainunue.
kama ndio ya mpnz kachemka coz muhusika anaweza nunua cm nyingine akaitumia kwa vidum vyake
Nataka nimnunulie mke wangu kuna ukweli nautafuta
mtatufanya tukatae zawadi za simu, lol!Nataka nimnunulie mke wangu kuna ukweli nautafuta
Ukweli gani?Nataka nimnunulie mke wangu kuna ukweli nautafuta
Ukweli gani? Unajitafutia magonjwa ya moyo tu.Nataka nimnunulie mke wangu kuna ukweli nautafuta
Nataka nimnunulie mke wangu kuna ukweli nautafuta
Wadau nimewahi kusikia kua kuna simu sijui ya kampuni gani ambayo inauwezo wa kusave sms hata kama umezifuta inbox au sent sms.Naomba anayefahamu anitajie ni simu ya kampuni gani na code number yake nataka nikainunue.