Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Hivi muungwana haogopi kutukanwa na baadhi ya wanaompigia? Nadhani hilo limeshatokea. Pia haogopi kunaswa mazungumzo yake na halafu mpigaji akayatangaza, hasa yale yasiyo tija kwa taifa -- yaani pumba?