bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
kama mna upendo wa kweli hamuwezi kuzitumia cm zenu katika hali itakayo wanyima kuwa huru . kama uko huru ya nini ukatae kutoa simu yako kwa mwenzi wako????
hauko huru kuwa huru hutaenda bafuni na simu mkubwa.
Uhuru si katika kuombana simu tu na kutumia pamoja, uhuru pia upo kwa kila mtu anavyoenjoy na simu yake peke yake!nikienda kuoga simu ninaiacha peupe tu, siwezi ficha nikijua kuwa na mwenzangu ana busara hawezi kuikimbilia na kuanza kupekuapekua!