ni kweli bwana cm noma wangu miye nna mchumba wangu tulipotezana baada ya kumaliza kidato cha sita lakini cm ilituunganisha mi nikiwa udom yeye udsm na mpaka sasa ninaye lakini magomvi yetu makubwa huwa yanasababishwa na cm tu na wala si kingine
ni kweli bwana cm noma wangu miye nna mchumba wangu tulipotezana baada ya kumaliza kidato cha sita lakini cm ilituunganisha mi nikiwa udom yeye udsm na mpaka sasa ninaye lakini magomvi yetu makubwa huwa yanasababishwa na cm tu na wala si kingine
Kama mahusiano yamejengwa kwa vitu, yatamalizwa kwa vitu, na kama yamejengwa kwa utu yatasambaratishwa kwa utu
ni kweli bwana cm noma wangu miye nna mchumba wangu tulipotezana baada ya kumaliza kidato cha sita lakini cm ilituunganisha mi nikiwa udom yeye udsm na mpaka sasa ninaye lakini magomvi yetu makubwa huwa yanasababishwa na cm tu na wala si kingine
you've nailed it! That's it!Kama mahusiano yamejengwa kwa vitu, yatamalizwa kwa vitu, na kama yamejengwa kwa utu yatasambaratishwa kwa utu
wandugu.. kwann matumizi ya simu ni moja ya vyanzo vkubwa vya migogoro kwa wapendanao? na kwa nn wengi wao wanafanya maamuzi magumu ya kuvunja mahusiano kwa ushahid wa simu? Zisingekuwepo je? mapenzi yangedumu kwa kizazi chetu cha leo?
Hamjui maana ya simu. simu ni personal thing sasa inasababishaje mgombane wakati kila mtu ana simu yake? au mnatumia simu moja?
Achana na simu ya mwenza wako..mtakuwa mnagombana bure..
je unaamini kuna wakati baadhi ya msg zinaingia kwenye simu za watu kimakosa?
Hamjui maana ya simu. simu ni personal thing sasa inasababishaje mgombane wakati kila mtu ana simu yake? au mnatumia simu moja?
Nakubaliana na wewe lakini kwanini wengine wakiombwa simu zao wanakuwa wakali?
swala si kuwa wakali,issue ni kwamba usilazimishe kupewa simu!kama mwenzio amekataa kukupa simu yake basi heshimu maamuzi yake na wala usilamu hapo!hiyo ndo discipline ya matumizi ya simu!tatizo ni kwamba tumeelekeza mawazo kwenye kufumaniana tu!
Nakubaliana na wewe lakini kwanini wengine wakiombwa simu zao wanakuwa wakali?
swala si kuwa wakali,issue ni kwamba usilazimishe kupewa simu!kama mwenzio amekataa kukupa simu yake basi heshimu maamuzi yake na wala usilamu hapo!hiyo ndo discipline ya matumizi ya simu!tatizo ni kwamba tumeelekeza mawazo kwenye kufumaniana tu!
Why and for what reasons? Hauoni kuwa kuna tatizo hapo? Tunaposema discipline inakuja pia ni jinsi gani unavyotumia simu yako and not the other way round