Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,704
- 39,782
s6 ni habari ingine ina nguvu sana kuipita note 4Mkuu @ chief mkwawa naomba ushauri nataka kununua simu moja wapo kati ya hizi SAMSUNG NOTE 4 ama SAMSUNG GALAXY S6 ipi nzuri katika peformance na feature??
-ndio simu ya kwanza kuja na memory za ufs ambazo zina speed sana
-processor yake ina nguvu na ni 64bit compare na 32bit ya note 4
-ina touchwizz mpya ambayo ni nyepesi
-ina design ya kuvutia
sema s6 haijakaa kama samsung nyengine
-battery yake haitoki
-haiingii memory card
-imetengenezwa na glass ambazo si material mazuri.
ila narecomend sana s6