Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,352
Thats name calling............ Last warning!!a.k.a baba matesha muzee ya kilauri
Thats name calling............ Last warning!!a.k.a baba matesha muzee ya kilauri
Thats name calling............ Last warning!!
Kwanini usikague? Unakagua ukikuta kuna always unajua kuna mfungo umeanza, unatafuta njia mbadala ya kudumisha mila..kumbe kuna watu wanakagua handbag ya mama? jamani matatizo mengine yakujitakia
Kwanini usikague? Unakagua ukikuta kuna always unajua kuna mfungo umeanza, unatafuta njia mbadala ya kudumisha mila..
yaani mpaka uikute ndio utajua ameanza? wengine hizo hazikosekani kwenye handbag zetu.
Nyamayao hebu mjibu huyu mtanzania mwenzangu hapa chini tafadhaliyaani mpaka uikute ndio utajua ameanza? wengine hizo hazikosekani kwenye handbag zetu.
Asa utajuaje.............akutangazie ?:lie:
makubwaMi simu yangu inawekwa security code siku hiyo hiyo iliponunuliwa.
Woga au?makubwa
Kwanini usikague? Unakagua ukikuta kuna always unajua kuna mfungo umeanza, unatafuta njia mbadala ya kudumisha mila..
Nashangaa inakuwaje unaficha nini ama kweli ndoa kazi bora nisioleweWoga au?
Kumbe hujaolewa? Thanks for the info. Hebu twende PM, nahitaji kimada wa kukava waifu anapokuwa kaenda kwenye unajimu au siku akiwa na kisirani.Nashangaa inakuwaje unaficha nini ama kweli ndoa kazi bora nisiolewe
a.k.a baba matesha muzee ya kilauri
Ati nini? kwani siku hizi Kuna ubatizo wa maji mengi hapa jf?
Nashangaa inakuwaje unaficha nini ama kweli ndoa kazi bora nisiolewe
Nyamayao hebu mjibu huyu mtanzania mwenzangu hapa chini tafadhali
Nashangaa inakuwaje unaficha nini ama kweli ndoa kazi bora nisiolewe
Ati nini? kwani siku hizi Kuna ubatizo wa maji mengi hapa jf?
kama huamini anagalia ameshaanza kumtokea Salha hapo juu!!! jasiri haachi asili hata akiacha jina
Hivi kuolewa si mpaka utongozw.e kwanza?olewa tu mami, yaani hiko ni kijimambo tu kwenye ndoa wwala kickukatishe tamaa.