tototundu
Senior Member
- Jul 29, 2009
- 198
- 40
Simu imeokotwa, maeneo ya Mlimani City jana asubuhi ikiwa haina chaji. Leo imewekwa chaji, ina PIN kwenye maeneo yote haiwezekani kuiwasha.
Kwa aliye poteza simu maeneo ya Mlimani City siku za karibuni, ani PM nimuunganishe na aliyeokota, lakini anipe pia info zifuatazo:
1. Aina na rangi ya simu hii.
2. Mtandao unaotumika na hii simu.
Ikifika J5 hakuna mmiliki halali atayejitokeza, itapelekwa kituo cha polisi cha karibu.
Tafadhali muarifu na ndugu/rafiki.
Kwa aliye poteza simu maeneo ya Mlimani City siku za karibuni, ani PM nimuunganishe na aliyeokota, lakini anipe pia info zifuatazo:
1. Aina na rangi ya simu hii.
2. Mtandao unaotumika na hii simu.
Ikifika J5 hakuna mmiliki halali atayejitokeza, itapelekwa kituo cha polisi cha karibu.
Tafadhali muarifu na ndugu/rafiki.