Yaa kama ungelikuwa ume enable service ya mobile tracker sasa hivi ungeishampata aliyenayo maana ingeku -alert kwenye alternative number.
Nami nimenunua simu mpya ya samsung mpya, nimeshatuma ujumbe huo, tusaidiane je unapaswa kupata jibu au kama hujajibiwa unafanyaje?Mkuu ulikuwa ume enable mobile tracker?au,uliponunua uliisajili samsung(kutuma namba ya imei kwenda 15685)?
kama hukufanya hivyo itabidi upige help line ya samsung.kwa bongo namba ni:0689000009,0759999999,0715033033.Au tuma neno MSAADA nafasi, swali lako,kwenda 15685.naamini watakusaidia.Isipofaa nitapost vituo vya msaada ukawa face.
Sijui nimekusaidia?
Nami nimenunua simu mpya ya samsung mpya, nimeshatuma ujumbe huo, tusaidiane je unapaswa kupata jibu au kama hujajibiwa unafanyaje?
Nimepata idea maana nina gt b5722 wacha nifanye hiyo kitu 'now now'
Ahsante sana kwa kutuelimishaHaupati jibu ila yakitokea matatizo kama haya au simu ikizingua ukirudisha kwa shop inasaidia sana.au ukishinda droo yao wataku sms,au wakigundua model yako ina tabu itakuwa rahisi kukuambia uwarudishie.
Ahsante sana kwa kutuelimisha
mkuu yakwangu ni samsung D780 je ntaenable vp mobile tracker, menu book yake nlishatupa siku nyingi!!!!!!!!!!!!
Mkuu ulikuwa ume enable mobile tracker?au,uliponunua uliisajili samsung(kutuma namba ya imei kwenda 15685)?
kama hukufanya hivyo itabidi upige help line ya samsung.kwa bongo namba ni:0689000009,0759999999,0715033033.Au tuma neno MSAADA nafasi, swali lako,kwenda 15685.naamini watakusaidia.Isipofaa nitapost vituo vya msaada ukawa face.
Sijui nimekusaidia?
je kwa nokia N 82 naweza ku enable tracker msaada
Mkuu ulikuwa ume enable mobile tracker?au,uliponunua uliisajili samsung(kutuma namba ya imei kwenda 15685)?
kama hukufanya hivyo itabidi upige help line ya samsung.kwa bongo namba ni:0689000009,0759999999,0715033033.Au tuma neno MSAADA nafasi, swali lako,kwenda 15685.naamini watakusaidia.Isipofaa nitapost vituo vya msaada ukawa face.
Sijui nimekusaidia?