rapzz
Member
- Oct 21, 2016
- 12
- 16
Habari wana JF...simu yangu ni smartphone techno ....niliihukua. dukan miez 6 iliyopita lakiini sasa hivi imeanza tatizo la kupoteza...network yan inasoma mtandao kwa shida wakati mwingine nipo mjini lakin haijai network ...yan network inajaaa badae kama dakika 20 zinapotea bar za network...tatizo lake ni nini. Make cikuwah iangusha wala nini bado nzima...
Je ¡¡ nini cha kufanya au nifanyeje niwezw ilekebisha katika hali yake ya kawaida..??
Msaaada tafadhl
Je ¡¡ nini cha kufanya au nifanyeje niwezw ilekebisha katika hali yake ya kawaida..??
Msaaada tafadhl