Umesahau hata Madada zetu sikuhizi wanafeki maumbo kuwa ya kichina,Shati la kichina,viatu vya kichina unhuuu unhaaaaaa!!
Ukiona simu yako inaanza kujichaji hata hujachomeka chaja jua ni fake! Ukiwa na simu ikiita hadi mtaa wa pili wanasikia jua ni fake! Vilevile kama simu yako inaitwa Nokio, Mokia, Sangsung, Drackberry, Ai phone etcMngetuambia simu fake zenyewe zikoje af ni Watanzania wangapi wanauwezo wa kununua simu original?