Simpendi mno shemeji yangu.

hahahhahaa! I cant believe kuna watu kama wewe! Nakusamehe bure,nisije kuwa fyatu kama wewe,Kumbe yule aliyesema bange nadhani alikosea ,hizi ni kokeini kabisaaaa.Unaingia kila thread kuchafua hali ya hewa.

ZD mdogo wangu, hebu wachana na huyo mtu ackuharibie mood yako.
 
Nakusoma MOD,lakini ni vyema ukapitia post # 114 hapa na ukaona na kutoa mawazo yako pia, itakuwa sio mbaya sana.

Kuna matusi hayavumiliki watu wanatukanwa na hakuna chochote kinachofanyika. Na wanafahamika kwa kukutukana. Na anatuka watu watano mpaka na wazazi wao na hakuna hata wakusema imetosha.

Niko kwenye nyumba ya kioo yenye wavu ndani yake

...ooooh, ok....

Kumbe mnajuana kwa vilemba!
Sasa sijui sisi wapenda amani ndio tukusanye majamvi yetu au?

REMINDER;

Mahusiano, mapenzi, urafiki
Tubadilishane mawazo kuhusu mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana. TAFADHALI: Hii si sehemu ya kuweka picha chafu ama kutumia lugha kali sana. Zitafutwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom