simpendi:ananing'ang'ania,nifa nyeje?

huyu binti nilimpenda sana ila kutokana na makorokocho yake alonifanyia sitaki sitaki simtaki sipendi sipendi simpendi tena cha ajabu ananisumbua,nilimchukulia poa nikajitenga pembeni kuepusha msongamano sasa huu usumbufu wake ananipa hasira mpaka ananilazimisha nawaza mambo mabaya aaah yani nimechoka mpakam basi...nifanyeje?
isije ikawa labtec1
 
Last edited by a moderator:
Hoja yako ni fichi na isitoshe ni personal matter. Hivyo amua mwenyewe maana wakati ukianzana naye hukutuhusisha. Kwanini kwenye kula utufiche lakini kwenye kuosha vyombo utuhusishe? Hakika kila mtu ataubeba mzigo wake.
 
Mbona kazi ndogo hiyo. kama kweli humpendi mwambie sikupendi na aking'ang'ania unamchinja. Hatarudi tena.

huyu binti nilimpenda sana ila kutokana na makorokocho yake alonifanyia sitaki sitaki simtaki sipendi sipendi simpendi tena cha ajabu ananisumbua,nilimchukulia poa nikajitenga pembeni kuepusha msongamano sasa huu usumbufu wake ananipa hasira mpaka ananilazimisha nawaza mambo mabaya aaah yani nimechoka mpakam basi...nifanyeje?
 
Bado hujaamua kumkataa kikweli,ukiamua utalipata lakumwambia labda usiwe mwanamme.
 
Ndugu yangu huyo dada kuna mahali pengine alikuwa anategemea ndio maana alikuwa anakufanyia vituko,sasa huko nako amegonga mwamba ndio maana anataka kurudi kwako kwa speed kubwa,shikilia msimamo wako akipiga usipokee wala usijibu mesage zake,akibadilisha simu ukigundua niyeye mkatie,akikusumbua sana pokea usiongee kitu wala usisikilize vocha zake zipotelee chini,atakata tamaa tu.
 
Back
Top Bottom