simpendi:ananing'ang'ania,nifa nyeje?

varavara

JF-Expert Member
May 29, 2012
605
484
huyu binti nilimpenda sana ila kutokana na makorokocho yake alonifanyia sitaki sitaki simtaki sipendi sipendi simpendi tena cha ajabu ananisumbua,nilimchukulia poa nikajitenga pembeni kuepusha msongamano sasa huu usumbufu wake ananipa hasira mpaka ananilazimisha nawaza mambo mabaya aaah yani nimechoka mpakam basi...nifanyeje?
 
mwambie asome siredi ya leo ya Mtambuzi. Zaidi kata contacts, usidanganyike hakuna mapenzi ya nguvu, if you put your feets on the ground, hatokusumbua huyo.
 
wanawake weng sasa iv macho juu jaman tamaa mbaya badilikeni.
 
huyu binti nilimpenda sana ila kutokana na makorokocho yake alonifanyia sitaki sitaki simtaki sipendi sipendi simpendi tena cha ajabu ananisumbua,nilimchukulia poa nikajitenga pembeni kuepusha msongamano sasa huu usumbufu wake ananipa hasira mpaka ananilazimisha nawaza mambo mabaya aaah yani nimechoka mpakam basi...nifanyeje?

Shikiria msimamo wako huo huo. Unaweza kuzipotezea meseji zako na vituko vyake, ipo siku atachoka.
 
Mwambie ukweli na umuonyeshe kwa vitendo kwamba huna mpango nae..Atakuacha tuu..
 
mwambie humtaki....
Usipokee simu zake....
Akija kukutembelea usimkaribishe....
Usijibu text zake...
 
huyu binti nilimpenda sana ila kutokana na makorokocho yake alonifanyia sitaki sitaki simtaki sipendi sipendi simpendi tena cha ajabu ananisumbua,nilimchukulia poa nikajitenga pembeni kuepusha msongamano sasa huu usumbufu wake ananipa hasira mpaka ananilazimisha nawaza mambo mabaya aaah yani nimechoka mpakam basi...nifanyeje?


NIPE NAMBA YAKE NIJTULIZE NAYEEEEEEEE
@PJN at Mtwara Gas City
 
mbna jambo dogo hilo, haliitaji hata kuanzsha thread use ur common sense usiendekeze ubongo wako kushauriwa kila kitu.
 
mbna jambo dogo hilo, haliitaji hata kuanzsha thread use ur common sense usiendekeze ubongo wako kushauriwa kila kitu.
YAH ni jambo dogo ila linakera na kunisumbua vibaya sana..
 
Back
Top Bottom