varavara
JF-Expert Member
- May 29, 2012
- 605
- 484
huyu binti nilimpenda sana ila kutokana na makorokocho yake alonifanyia sitaki sitaki simtaki sipendi sipendi simpendi tena cha ajabu ananisumbua,nilimchukulia poa nikajitenga pembeni kuepusha msongamano sasa huu usumbufu wake ananipa hasira mpaka ananilazimisha nawaza mambo mabaya aaah yani nimechoka mpakam basi...nifanyeje?