Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,185
- 42,002
Bora walivyo mmaliza jamaa alikuwa hatari kwa uslama wa raia! Ila na muonea huruma mkewe na watoto wale sita,sijui ata waleaje. Funzo kwa vijana wote wasiopenda kushughulika na kazi halali na kujiingiza kwenye magenge yanayo hitimisha maisha yao.polisi wanapata lawama kwa kumu ua huyu mtu lakin wakenya walipata amani baada ya kusikia taarifa za kifo cha huyu jambazi. Mtu mmoja alioneka kuwakosesha amani maelfu ya wakenya.