tu-goli twenyewe tutano tu,hadi leo tunakupa kiwewe!!..............hebu tulia bana,next time tutawafunga nne tu ili msipate sterss!
njaa mbaya mtoto wa kiume unaweza huzuria kicheni pati
tu-goli twenyewe tutano tu,hadi leo tunakupa kiwewe!!..............hebu tulia bana,next time tutawafunga nne tu ili msipate sterss!
Zawadi ni milion kumi na mshindi wa pili milion tano, hiyo hela sio ndogo kama unavyofikiria, utaonaaje hiyo ndogo kwa mechi tano wakati Yanga mmecheza mechi 26 za ligi kuu mkaambulia milion 17 tu na kuweka dreva wenu rehani na mkashindwa kumkomboa na faini kibao walizopigwa wachezaji wenu hivyo mkilipa faini zote mnaweza kujikuta mnabakiwa hata na milioni nane tu ambayo ni ndogo ukilinganisha na tuliyopata sisi jana.
1. Hapo kwenye red sentensi hiyo itakuwa na mantiki tu endapo ZFA watakuwa wana'run short of fund kila mwaka na kuendelea na technique hiyo ya kutafuta fedha kwa kuandaa Kombe mbuzi na kuzialika team kubwa ie Yanga,Simba na
Azam ili wapige hela kama walivyopiga this time...lkn kama mipango ya Rais mpya wa ZFA itakuwa endelevu na kuifanya ZFA kuwa na uwezo wa kusimama vizuri utaweza kuiita Simba kama mabingwa wa kwanza na wa mwisho wa hilo kombe la urafiki sijui ujirani ksbb haitakuwepo tena,this I can assure U Mkuu.
2. Kitu pekee ambacho mnaweza kuendeleza kuweka record ni kukusanya hayo makombe Mbuzi sijui Mapinduzi Cup,sijui Ujirani wa karibu,sijui Mo Cup,Kinesi Cup n.k huku mkijipa moyo kuwa eti ni mwanzo mzuri...kalaghabaho
2.
vp mjombaa ulisahau mlivo shindia ugali na maziwa kule sudan mwenyekit akalala mapokez kwa kukosa buku5 ya gest,. Njaa mbaya sn uneza huzuria kichen pati japo toto la kiume
zile ni njama za mwenyeji, pale hata uwe na zile hela za uswis hununui kitu maana hutakiona. Vipi mlishamlipa minziro malimbikizo ya posho?
vp mjombaa ulisahau mlivo shindia ugali na maziwa kule sudan mwenyekit akalala mapokez kwa kukosa buku5 ya gest,. Njaa mbaya sn uneza huzuria kichen pati japo toto la kiume
minziro ashalipwa anakula maisha jangwani, vp hela ya rambirambi kwa mafisango hata nusu mmepeleka
1. Hapo kwenye red sentensi hiyo itakuwa na mantiki tu endapo ZFA watakuwa wana'run short of fund kila mwaka na kuendelea na technique hiyo ya kutafuta fedha kwa kuandaa Kombe mbuzi na kuzialika team kubwa ie Yanga,Simba na Azam ili wapige hela kama walivyopiga this time...lkn kama mipango ya Rais mpya wa ZFA itakuwa endelevu na kuifanya ZFA kuwa na uwezo wa kusimama vizuri utaweza kuiita Simba kama mabingwa wa kwanza na wa mwisho wa hilo kombe la urafiki sijui ujirani ksbb haitakuwepo tena,this I can assure U Mkuu.
2. Kitu pekee ambacho mnaweza kuendeleza kuweka record ni kukusanya hayo makombe Mbuzi sijui Mapinduzi Cup,sijui Ujirani wa karibu,sijui Mo Cup,Kinesi Cup n.k huku mkijipa moyo kuwa eti ni mwanzo mzuri...kalaghabaho
2.
Mkuu kama unapata uchungu wahi chumba cha uzazi.
...ambaye hadi sasa hajasaidia kuipa Yanga ubingwa, kuifanya isogee walau raundi ya kwanza ya ligi za vilabu vya Afrika, au walau kuiepusha na kipigo cha 5-0 kutoka kwa Simba!!nusu ya mshara wa niyonzima
Unatoa mapovu kwa lipi.Ubalozi wa Jamhuri ya Kongo uliwasiliana na Simba na kuwashauri wasitishe kutoa rambirambi
mpaka itakapokuwa established nani ana haki nayo .Kwani kuna 3 parties zinazogombea haki hiyo.Usilolijua ni usiku wa giza.
Kama kawaida yako umeendelea kulishwa matango pori.Uliza kwanza upewe ufafanuzi wacha unafiki wa kujifanya unajali sana kwa jambo usilolijua.
Kweli wewe ni mtambo haswa.Umeambiwa kuna parties 3 zinazogombea kupewa rambirambi na na haki zingine
za marehemu Mafisango na bado huelewi.Eti kuniomba kistaarabu na vitisho uchwara vya kuogopa ban.Wacha kuja na sweeping allegations zisizokuwa na ukweli na uone kama kuna mtu mwenye akili timamu atarespond.
Kipi usichokielewa wewe zuzu.Vimekuja vikundi vitatu tofauti vyote vikidai vinamwakilisha marehemu Mafisango
na kudai wapewe haki zake na rambirambi.Simba ikawasiliana na ubalozi na kupewa ushauri wasitishe mpaka
utakopatikana ufumbuzi.Marehemu amezaa na wanawake tofauti hivyo haihitajiki papara.Hamna bongofalvour jifunze kuspell.Uliwahi kusema wewe ni same age na mtoto wa Allan Shomari hivyo ukitake consideration level ya sekondari za kata sishangai.
mlion 6 na laki3