SimbaNET Hooks into SEACOM

Sanctus,
asante sana kwa majibu fasaha.
Hivi hawa NMB ni wateja wenu..... pale TRA mwenge kuna kero sana utasikia hatuna mawasiliano na matawi mengine ...
Mimi nawashauri ninyi (service providers) muwashauri hawa wateja wenu na muwasaidie kufanya "systems dimensioning" ikiwezekana ili waweze kujua uwiano uliopo kati ya number of users, bandwidth, na time management PLUS customer retension. Najua kuna wakurugenzi kibao kwenye makampuni/mabenki ya kibongo ambao walisoma enzi za mwalimu (with regard to ICT).... Sio vibaya kuwa wamesoma zama hizo, lakini wanahitaji ushauri....


Mutensa;

Ushauri wako ni mzuri sana and I wish ungekuwa unafuatwa na clients wengi matatizo yangepungua kwa kaisi kikubwa.

Takwimu tulizonazo zinaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 85% ya matatizo ya Network na Connectivity yanatokana na mteja mwenyewe yakiwemo:
- Virus katika Network
- LAN isiyo nzuri
- BW over-utilization
- Internal skills ya kumanage Network just to mention a few.

NMB si wateja wetu.
 
Vipi mikoani hiyo net kutoka Simbanet ambayo imeunganishwa na mkonga inauwaje mkuu mbona haunipi maelezo?


Think pad;

Nilishakujibu. Angalia post ya 93 na 94.

Here are the answers:

Mchukia Fisadi;

Bado kuna changamoto ya kufikisha mawasiliano ya mkonga mikoani. hata hivyo nadhani ni ya muda tu.

Taarifa zisizo rasmi kutoka reliable source zinasema kuwa sasa hivi Dodoma kupitia Fiber ya TANESCO wameshaunganishwa huku TTCL ikimanage mawasiliano hayo. TANESCO kufuatana na mipango ya Kitaifa wana Mkonga ambao tayari unaunganisha mikoa karibia kumi. Taarifa zisizo rasmi pia zinasema Mkonga wa Taifa sasa hivi unajengwa na Wachina kuelekea Singida nia ikiwa ni kuunganisha Burundi, Rwanda na Uganda ambao wana-prefer kuunganishwa kupitia Tanzania kuliko Nchi nyingine.

Bado kuna utata wa kiutendaji ni lini Mkonga wa Taifa utapatikana kwa matumizi ya Service Providers. Ingawa TTCL ndiyo wametajwa kuwa watamanage Mkonga lakini bado mipango ya kiutendaji haiko wazi.



ThinkPad;

SimbaNET inategemea mipango ya kitaifa kufikisha mawasiliano ya Mkonga mikoani. Hakuna kampuni binafsi ambayo imepata permit ya kujenga Mkonga kwenda mikoani.

Ninayo matumaini kuwa kabla ya mwishoni mwa 2009 mipango ya kiutendaji ya kutumia Mkonga itakuwa tayari na wateja wa mikoani wafaidika nao.


 
Mnyamwezi hatuwapi huduma ya Internet KCB. Ni service tofauti kabisa na ya Internet.

Speed ya huduma yoyote inategemea Capacity ya BW. Si kila link iliyo slow inasababishwa na Service Provider. Check na wahusika watakupa sababu. Kama wewe ni key person, wapigie Customer Support yetu 2112000 watakusaidia au kukueleza sababu ni nini.

FYI: SimbaNET has connected more than 50% of all commercial banks in Tanzania.

By whose statistics? You could be called to account for your statement Mr. Mtsimbe. BTW, while at it, who are the commercial banks and who aren't?!
 
By whose statistics? You could be called to account for your statement Mr. Mtsimbe. BTW, while at it, who are the commercial banks and who aren't?!


Mkuu very simple:

There are about 32 Banks and Financial Institutions. Source: BOT Website and Reports. You can also check their website.

I have on board 22 Banks.

Let anyone sue me and will produce contracts to support my figures.

LOL.
 
Mchukia Fisadi;

Bado kuna changamoto ya kufikisha mawasiliano ya mkonga mikoani. hata hivyo nadhani ni ya muda tu.

Taarifa zisizo rasmi kutoka reliable source zinasema kuwa sasa hivi Dodoma kupitia Fiber ya TANESCO wameshaunganishwa huku TTCL ikimanage mawasiliano hayo. TANESCO kufuatana na mipango ya Kitaifa wana Mkonga ambao tayari unaunganisha mikoa karibia kumi. Taarifa zisizo rasmi pia zinasema Mkonga wa Taifa sasa hivi unajengwa na Wachina kuelekea Singida nia ikiwa ni kuunganisha Burundi, Rwanda na Uganda ambao wana-prefer kuunganishwa kupitia Tanzania kuliko Nchi nyingine.

Bado kuna utata wa kiutendaji ni lini Mkonga wa Taifa utapatikana kwa matumizi ya Service Providers. Ingawa TTCL ndiyo wametajwa kuwa watamanage Mkonga lakini bado mipango ya kiutendaji haiko wazi.

Mkuu very simple:

There are about 32 Banks and Financial Institutions. Source: BOT Website and Reports. You can also check their website.

I have on board 22 Banks.

Let anyone sue me and will produce contracts to support my figures.

LOL.


Inaelekea hujasoma gazeti la East African lililotoka jana

soma page 27

otherwise i am very impressed na jinsi uliyoelezea kuhusu SIMBA NET na nimefiatilia mjadala mzima jinsi ulivyokwenda

Binafsi I have always been impressed by Ali Mufuruki na ni mtu ambaye i dont hesitate kufanya nao biashara

Anywa nitakutuimia PM ili tuangalie jinsi gani naweza twaweza kusaidiana kibiashara

By the way hivi mfano mtu wa ulaya anapokuambia nataka nipate broadband service yaani videos,downloads, na kila kitu je mnaweza kumpatia kwa matumizi ya nyumbani na ofisini?

At what price kwa mwezi interms of USD?

Lastly why should someone use SIMBANET and not WIA?
 
Back
Top Bottom