SimbaNET Hooks into SEACOM

Yo Yo, kwa wataalamu wa Internet, downloads za kawaida (No Multimedia, No graphics, no Sound) inatosha.

lakini kama ukitaka kudownlaod Videos, Images, Sounds, of course u need more capacity. Ndiyo maana issue ya kujua mahitaji kabla ni muhimu sana.
mkuu sasa hapo utakuwa una mlimit mtu asijiachie atakavyo...kama hamna multimedia na magraphics sasa hapo mkuu huyo client ina maana yeye atakuwa anafungua ippmedia.com basi......

mkuu wengi watumiaji lazima tunapenda kupata kila kitu.....nimsikilize mwanakijiji,nile midundo bongoradio,youtube na kwingineko.....sasa kama 2Mbps mnachaji 4.7mil nyie mmejiunga na mkongo kweli?
 
Understood Sir!

I thought when you are in Rome, do what the Romans Do!

Nimeona wengi wanatumia Mkuu na Kiongozi!

Unajua nini mkuu, TCRA hawafanyi kazi yao vyema tu, kuna mabango mengi ya matangazo yanahitaji kushushwa au kutoonekana kabisa in public gaze.

TCRA ought to be broken into respective parts... too big an umbrella to shield everything communication.
 
mkuu sasa hapo utakuwa una mlimit mtu asijiachie atakavyo...kama hamna multimedia na magraphics sasa hapo mkuu huyo client ina maana yeye atakuwa anafungua ippmedia.com basi......

mkuu wengi watumiaji lazima tunapenda kupata kila kitu.....nimsikilize mwanakijiji,nile midundo bongoradio,youtube na kwingineko.....sasa kama 2Mbps mnachaji 4.7mil nyie mmejiunga na mkongo kweli?

Hiyo kitu inabidi iwe kwenye 3k ndo tutafeel unafuu wa mkonga!!!
 
mkuu sasa hapo utakuwa una mlimit mtu asijiachie atakavyo...kama hamna multimedia na magraphics sasa hapo mkuu huyo client ina maana yeye atakuwa anafungua ippmedia.com basi......

mkuu wengi watumiaji lazima tunapenda kupata kila kitu.....nimsikilize mwanakijiji,nile midundo bongoradio,youtube na kwingineko.....sasa kama 2Mbps mnachaji 4.7mil nyie mmejiunga na mkongo kweli?

Mkuu bei tunayonunulia si ndogo kama wengi wanavyodhani.
Still bado tuna mikataba na makampuni mengi ya satellite na bado tunawalipa.

Hata hivyo bei zetu tumejitahidi sana kuzirekebisha.

Kumbuka tunanununa 155 Mbps na hii ni investment kubwa kwa mwaka.
 
Yo Yo Vp hapo r u in? Make we na Melo ndo wataaluma wetu hapa tunategemea ushauri mkubwa kutoka kwenu. Hiyo sijui 80/80 itaniwezesha kuona clips za Youtube kweli?
achilia mbali kuona youtube hata gmail haifunguki kwa loading basic HTML haifungui....
 
Mkuu Yo Yo;

Si rahisi kwa SimbaNET kufanya usanii, zamani wala sasa hivi. Always tuna excess capacity in stock ambayo inatakiwa iuzwe pia.

Sasa hivi tuna 1 pair ya 155 Mbps na muda si mrefu tutaongeza.

Mkuu Yoyo; katika Backbone ya VSAT 2048/2048 Kbps the best price ilikuwa not less than $ 10,000 (Dedicated Bandwidth)

2048/2048 Kbps kwa Submarine Backbone unaweza kupata kwa $ 3685. nakushauri ulete mahitaji kamili kupitia sales@simbanet.net na utapewa bei halisia kufuatana na mahitaji.


Kaka;

Bei za kenya umeziona?

Angalia Attachment.
Kwa mujibu wa hiyo attachment, hizo za Kenya wanauza dedicated 2Mbps kwa 1.6M tofauti na ninyi mnaotwanga 4.7M. Kwa maneno mengine, bei yenu ni mara tatu ya ile ya KDN Kenya.

Halafu upo uwezekano pia kwamba hizo rates za KDN are not of the lowest price in Kenya.
 
Last edited:

Kwa mujibu wa hiyo attachment, hizo za Kenya wanauza dedicated 2Mbps kwa 1.6M tofauti na ninyi mnaotwanga 4.7M. Kwa maneno mengine, bei yenu ni mara tatu ya ile ya KDN Kenya.

Halafu upo uwezekano pia kwamba hizo rates za KDN are not of the lowest price in Kenya.

Mkuu;

very Interesting . . . hapa Tanzania inanunuliwa kwa zaidi ya hiyo TZS 1.6 Million. Hatuwezi kuuza kwa hasara.

- Tunanunua kwa quantity Minimum 155 Mbps Per Month X 12. It is a huge investmentent

- Bado kuna mikataba na Satellite Operators na bado malipo ni ya juu

- hatuna hidden charges zozote na contention ratio ni 1:1
 
Mkuu;

very Interesting . . . hapa Tanzania inanunuliwa kwa zaidi ya hiyo TZS 1.6 Million. Hatuwezi kuuza kwa hasara.

- Tunanunua kwa quantity Minimum 155 Mbps Per Month X 12. It is a huge investmentent

- Bado kuna mikataba na Satellite Operators na bado malipo ni ya juu

- hatuna hidden charges zozote na contention ratio ni 1:1
Duh,

Basi tena!

Mtsimbe, kwanza samahani kuwa kwenye picha nilizoweka zote nilisahau kuweka ambayo unaonekana, kumradhi kwa hili na nimeambatanisha picha yako chini. Mtsimbe ni wa kwanza kushoto (nadhifu :) )

Pili, vipi mimi nahitaji atleast 512kbps, naweza kupata kwa bei gani? Naweza kupata wapi maelekezo au price list kwa lugha ya kigeni?

Ahsante

i643_DSC03246.JPG
 
Kumbe huu mkonga haujapunguza kitu wabongo bana kwa kupenda super profit dah.
Sasa sijui hawa walioleta mkonga ndo wanawakamua au hawa maagent ndo mnatukamua maana bongo bana.
 
Kumbe huu mkonga haujapunguza kitu wabongo bana kwa kupenda super profit dah.
Sasa sijui hawa walioleta mkonga ndo wanawakamua au hawa maagent ndo mnatukamua maana bongo bana.
wee acha tu maana raisi alituambia ati gharama zitapungua saaaana more than 70% lakini naona kama ndio zimeongezeke..au Sactus anakula cha juu?joking
Duh,

Basi tena!

Mtsimbe, kwanza samahani kuwa kwenye picha nilizoweka zote nilisahau kuweka ambayo unaonekana, kumradhi kwa hili na nimeambatanisha picha yako chini. Mtsimbe ni wa kwanza kushoto (nadhifu :) )
lol umemtafutia balaa.....PM yake imeshajaa shoriiiizi
 
Mkuu;

very Interesting . . . hapa Tanzania inanunuliwa kwa zaidi ya hiyo TZS 1.6 Million. Hatuwezi kuuza kwa hasara.

- Tunanunua kwa quantity Minimum 155 Mbps Per Month X 12. It is a huge investmentent

- Bado kuna mikataba na Satellite Operators na bado malipo ni ya juu

- hatuna hidden charges zozote na contention ratio ni 1:1
Naam, hakuna anayefanya biashara ili apate hasara!

Naamini kabisa kwamba mkiweka mkakati wa nguvu kuwafikia wateja wengi mapema, bei yenu ya kuuzia ingekuwa ndogo hata kuipiku hiyo rate huko Kenya na bado mkapata faida. Badala yake mmeamua kwenda na strategy tofauti. Of course mna hiyari ya kufanya mtakavyo.

Kwa bei hii unayotueleza, I cannot see you buying another fiber pair, kwani hiyo 155 Mbps itawachukua muda mrefu sana kuigawa. Usisahau, kuna kundi kubwa la wanafunzi ambao watakuwa wanapata fast & free Internet vyuoni.
 
Habari njema huyo; je kuna mteja wa Simbanet anaweza kutuambia kama speed ikoje sasa baada ya kuunganishwa na hiyo link mpya?

Nilijaribu kuingia internet nilipokuwa TZ, hiyo speed ikanifanya niache.
Ndugu,speed bado ni ile ile ambayo nilikuwa naipata siku zote,sijaona mabadiliko yoyote kwenye speed.Labda tu subirie tuone kama watatuongezea bandwidth...mimi nilichukua speed ya 128 kbps sijui wataniongezea au la.
 
Last edited:
Naam, hakuna anayefanya biashara ili apate hasara!

Naamini kabisa kwamba mkiweka mkakati wa nguvu kuwafikia wateja wengi mapema, bei yenu ya kuuzia ingekuwa ndogo hata kuipiku hiyo rate huko Kenya na bado mkapata faida. Badala yake mmeamua kwenda na strategy tofauti. Of course mna hiyari ya kufanya mtakavyo.

Kwa bei hii unayotueleza, I cannot see you buying another fiber pair, kwani hiyo 155 Mbps itawachukua muda mrefu sana kuigawa. Usisahau, kuna kundi kubwa la wanafunzi ambao watakuwa wanapata fast & free Internet vyuoni.
mkuu kwenye marketing kuna strategies ambazo lazima uwe mjanja ku hit consumer wako....kuna kitu wanaita skmiming hii ni pale unapoingia kwenye soko kama producer au seller unaanza na bei kubwa ambapo bidhaa yako utakapo i launch onto a market.....marketer wanafanya hivi baada ya kuona demand ya product yao is very high mind you skimming haidumu kwa mrefu pale demand inapoanza kupungua basi lazima washushe bei....

hii ina apply sana sana kwenye bidhaa zile ambazp haiathiriki na mabadiliko ya bei wenyewe wanaita inelasticity of demand...mfano hai ni designer-label clothing.....
nafikiri hawa ISP wamejisahau ku deal na pricing penetration.....mtu wa kawaida kama mie nianaetaka 2Mbps siwezi ku afford kulipa milioni 4 kwa mwezi.....otherwise tanzania tutabaki vile vile as zamani hatutaona faida ya fiber optic wires.....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom