SimbaNET Hooks into SEACOM

nimekusoma isije kuwa ule usanii wenu......nahitaji 2MBPS unlimited chaji yao iko vipi?

Mkuu Yo Yo;

Si rahisi kwa SimbaNET kufanya usanii, zamani wala sasa hivi. Always tuna excess capacity in stock ambayo inatakiwa iuzwe pia.

Sasa hivi tuna 1 pair ya 155 Mbps na muda si mrefu tutaongeza.

Mkuu Yoyo; katika Backbone ya VSAT 2048/2048 Kbps the best price ilikuwa not less than $ 10,000 (Dedicated Bandwidth)

2048/2048 Kbps kwa Submarine Backbone unaweza kupata kwa $ 3685. nakushauri ulete mahitaji kamili kupitia sales@simbanet.net na utapewa bei halisia kufuatana na mahitaji.
 
Kwa wale watakaokuwa na nafasi, kesho Ijumaa Tarehe 14-08-2009, mnaweza pia kupata maelezo zaidi katika kipindi cha JAMBO AFRICA kuanzia saa 12 Asubuhi.

Karibuni sana.
 
Mkuu Yo Yo;

Si rahisi kwa SimbaNET kufanya usanii, zamani wala sasa hivi. Always tuna excess capacity in stock ambayo inatakiwa iuzwe pia.

Sasa hivi tuna 1 pair ya 155 Mbps na muda si mrefu tutaongeza.

Mkuu Yoyo; katika Backbone ya VSAT 2048/2048 Kbps the best price ilikuwa not less than $ 10,000 (Dedicated Bandwidth)

2048/2048 Kbps kwa Submarine Backbone unaweza kupata kwa $ 3685. nakushauri ulete mahitaji kamili kupitia sales@simbanet.net na utapewa bei halisia kufuatana na mahitaji.
Vyema kabisa.

Speed ni UNLIMITED.

SimbaNET inatoa Dedicated Bandwidth.
Lakini ni speed ya kitu gani hicho hapa duniani ambayo iko BOLD unlimited?!!
 
Kwa wale watakaokuwa na nafasi, kesho Ijumaa Tarehe 14-08-2009, mnaweza pia kupata maelezo zaidi katika kipindi cha JAMBO AFRICA kuanzia saa 12 Asubuhi.

Karibuni sana.

Ok tnx kwa maelezo, ila kwa sisi ambao ni laymen kidogo hatujaelewa. tunachohitaji ni utudadavulie in terms of packages mtakazokujanazo ili nijue kama nina labda ofisi yenye pc 10 nitahitaji package ya gharama gani ili mambo yaende tambarare. ukifanya hivyo nadhani utakuwa umetusaidia walaji tulio wengi
 
i640_DSC03254.JPG


lakini yaonekana huyu jamaa mwenye suti yenye michururizo ya mistari hapo juu ni mtanashati sana. Naona hata tai imeenda shule na imemwacha anaonekana pasna sana. mmachisho na hicho kipanki cha kishkaji vimeenda shule ati
 
i640_DSC03254.JPG


lakini yaonekana huyu jamaa mwenye suti yenye michururizo ya mistari hapo juu ni mtanashati sana. Naona hata tai imeenda shule na imemwacha anaonekana pasna sana. mmachichisho na hicho kipanki cha kishkaji vimeenda shule ati


Naam! Asante sana.

Huyo ni Mr. Hussein Kitambi; Head of Operations akiongoza idara za:
VSAT
WIRELESS
NOC
CUSTOMER CARE
CUSTOMER SUPPORT
PROJECT MANAGEMENT
 
Ok tnx kwa maelezo, ila kwa sisi ambao ni laymen kidogo hatujaelewa. tunachohitaji ni utudadavulie in terms of packages mtakazokujanazo ili nijue kama nina labda ofisi yenye pc 10 nitahitaji package ya gharama gani ili mambo yaende tambarare. ukifanya hivyo nadhani utakuwa umetusaidia walaji tulio wengi


kama una bajeti ya kutosha PC moja unaweza kuipimia 8 Kbps. So 10 PC 80/80 Kbps inakutosha.

Bei: $ 150
 
YES Sir! Per Month.
mamaaaa weeee mkuu mnyamwezi woote huo? mkuu sidhani kama mmejiunga na Seacom..nina mashaka.......before kujiunga na mkongo wa mawasiliano packages hio mlikuwa mnachaji bei gani?

mind youu iwe unlimited data transfer.....
kama una bajeti ya kutosha PC moja unaweza kuipimia 8 Kbps. So 10 PC 80/80 Kbps inakutosha.

Bei: $ 150
lol bado saaana......
 
mamaaaa weeee mkuu mnyamwezi woote huo? mkuu sidhani kama mmejiunga na Seacom..nina mashaka.......before kujiunga na mkongo wa mawasiliano packages hio mlikuwa mnachaji bei gani?

mind youu iwe unlimited data transfer.....

lol bado saaana......


Yo Yo, kwa wataalamu wa Internet, downloads za kawaida (No Multimedia, No graphics, no Sound) inatosha.

lakini kama ukitaka kudownlaod Videos, Images, Sounds, of course u need more capacity. Ndiyo maana issue ya kujua mahitaji kabla ni muhimu sana.
 
Back
Top Bottom