Simbachawene: Toka mpiga debe hadi Naibu waziri

Kwasasa kitakachokuwa bora kwake ni uzuri wa mwisho wa kazi yake na si mwanzo wake.
 
Usihangaike na CV Ya Mh. Simbachawene cha zaidi ni Degree ya sheria toka chuo kikuu huria, lazima atakuwa ni kichwa au degree zenyewe za chuo hicho ni nyepesi kwa sababu wakati anajisomea chuo hicho huria alikuwa ni mpiga debe katika mabasi ya shemeji yake George Chove , mabasi ya urafiki. Alikuwa akipiga debe lake Stand ya zamani Dodoma pale Nyuma ya SIDO. Alichokuwa anawaudhi wasafili ni ile tabia yake ya kuwahi mizigo ya abiria na saa ingine kuwabeba na kuwaingiza katika basi lake la Urafiki hasa wanawake alikuwa anawabeba akiwashika sehemu zingine ambazo walikuwa hawapendi,


Siku moja mpiga debe mwenzie akiitwa Gerard alisagwa na basi siku hiyo Simbachawene alilia kama motto mdogo. Hata hivyo wadau wengi hawashangai sana kwani Josep Starling alikuwa shoe shiner hadi Rais wa Urusi ile ya zamani kabla ya kusambalatishwa na marekani.

Ha ha ha Mh waziri huyu bwana
 
Usihangaike na CV Ya Mh. Simbachawene cha zaidi ni Degree ya sheria toka chuo kikuu huria, lazima atakuwa ni kichwa au degree zenyewe za chuo hicho ni nyepesi kwa sababu wakati anajisomea chuo hicho huria alikuwa ni mpiga debe katika mabasi ya shemeji yake George Chove , mabasi ya urafiki. Alikuwa akipiga debe lake Stand ya zamani Dodoma pale Nyuma ya SIDO. Alichokuwa anawaudhi wasafili ni ile tabia yake ya kuwahi mizigo ya abiria na saa ingine kuwabeba na kuwaingiza katika basi lake la Urafiki hasa wanawake alikuwa anawabeba akiwashika sehemu zingine ambazo walikuwa hawapendi,


Siku moja mpiga debe mwenzie akiitwa Gerard alisagwa na basi siku hiyo Simbachawene alilia kama motto mdogo. Hata hivyo wadau wengi hawashangai sana kwani Josep Starling alikuwa shoe shiner hadi Rais wa Urusi ile ya zamani kabla ya kusambalatishwa na marekani.

Watanzania bana mtu hakitoka kwenye familia ya kitajiri shida, hakitoka kwenye familia za viongozi shinda hakitoka kwenye familia za kimasikini shida...kazi kweli kweli.
 
hiyo ilikuwa lini?
toka skipindi hiko hadi ubunge alifanya nini?

Ni kweli kabisa kujua nini hasa kiliendelea kutokea in between. Kazi nyingine zinafanywa kifamilia zaidi...Mtei aliwahi kusema alikuwa mchunga mbuzi na ng'ombe wa familia...but that did not break his heart and ambitions in forging his characters.
 
He has been there done that, I salute him as a fighter it means we should never give up no matter what!
 
Yaani katuambia nini? au katuumiza vichwa kufikiria nini alikuwa anafikiria kueleza

Kwanini MODS hawaoni haya Maumivu tunayoyapata tukisoma hizi habari oh samahani HOJA zisizo na umakini?

Sikujua Jumapili ni ndefu hivi; hasa ukiamua kuwa kwenye JAMII FORUM
 
What makes someones life 100%? Skills_90%, knowledge-94, hard work-96% and attitude-100%. Good simba! Your hard work +positive attitude has paid u.
 
Mkuu nimefarijika mleta mada amejijibu mwenyewe kwamba unaweza ukawa shoe shiner lakini ukaishia kwenye Urais. Simba alikuwa mpiga debe lakini akaonyesha juhudi hadi kupata degree na sasa anasoma degree ya uzamili katik utawala. Hizo ni juhudi za kupigiwa chapuo tusibweteke tukijiwezesha tunaweza.

Hata mimi imani yangu ni kwamba Simbachawene anaweza kutuletea kitu. Shilingi yangu naitupa kwake.

Siyo bongo lakini, hapa kwetu mpiga debe ni mpiga debe tu hata umuelimisheje anabaki kuwa hopeless na ukichukulia hiyo shahada ya chuo huria haikai darasani sidhani kama analaziada zaidi la ganda la cheti
 
Sasa tutaambiwa na waziri fulani hakushinda darasa la saba! Upiga debe si hoja manake hata Lula de Silva wa Brazil aliwa kubrash viatu!

Kwenye uzalendo wake natilishia shaka kutokana na mchango wake siku moja bungeni "alipendekezwa itungwe sheria ya kuzuia wabunge kuwaongelea marais wastaafu bungeni"!

Kisa wabunge waliongelea issue ya KIWIRA!
 
Usihangaike na CV Ya Mh. Simbachawene cha zaidi ni Degree ya sheria toka chuo kikuu huria, lazima atakuwa ni kichwa au degree zenyewe za chuo hicho ni nyepesi kwa sababu wakati anajisomea chuo hicho huria alikuwa ni mpiga debe katika mabasi ya shemeji yake George Chove , mabasi ya urafiki. Alikuwa akipiga debe lake Stand ya zamani Dodoma pale Nyuma ya SIDO. Alichokuwa anawaudhi wasafili ni ile tabia yake ya kuwahi mizigo ya abiria na saa ingine kuwabeba na kuwaingiza katika basi lake la Urafiki hasa wanawake alikuwa anawabeba akiwashika sehemu zingine ambazo walikuwa hawapendi,


Siku moja mpiga debe mwenzie akiitwa Gerard alisagwa na basi siku hiyo Simbachawene alilia kama motto mdogo. Hata hivyo wadau wengi hawashangai sana kwani Josep Starling alikuwa shoe shiner hadi Rais wa Urusi ile ya zamani kabla ya kusambalatishwa na marekani.

Uh, uh, sijui kama ni mbunge na naibu waziri bali ni: TISS jihadharini alijifanya anapiga debe kumbe anataka mengine toka kwa wengine bila yeye kutoa kwa wengine
 
binafsi namuaminia hasa anapochambua maswala ya sheria bungeni,ni jembe la ukweli
 
Siyo bongo lakini, hapa kwetu mpiga debe ni mpiga debe tu hata umuelimisheje anabaki kuwa hopeless na ukichukulia hiyo shahada ya chuo huria haikai darasani sidhani kama analaziada zaidi la ganda la cheti
Suzie hiyo si sahihi kabisa. Yaani hutaki mpiga debe asome na kuwa hata mwansheria? Tanzania ya sasa si ile ya kwamba ukishindwa kwenda form six na Chuo Kikuu (UDSM) basi mwisho wako ndio huo. Siku hizi watu wanapiga cross kuanzia form four na wanakuwa maprofessor bila kufika form six!
 
Last edited by a moderator:
Big up Simba! Watanzania tunatakiwa kuwa watu tusiokata tamaa, hakuna jambo lisilowezekana chini ya juu huyu jamaa ameonyesha jinsi gani tunatakiwa kuwa na fikra chanya kwenye kwenye kila jambo. BIG UP!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom