Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
umechanganya kadoda,alofumaniwa ni Josephat Joseph,na si wazir wala mbunge wala naibu waziri
Acha kupotosha ndugu, aliyefumaniwa ni GEORGE SIMBACHAWENE naibu waziri wa wizara ya Nishati na madini! Huyo hapo juu kwenye thread!