Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Kweli kila mtu ana tafsiri yake ya chai.On a serious note,
Nadhani ametumia tafsida, chai ni rushwa kwa hiyo ana maana hakuna Mtanzania anayeshindwa kupokea rushwa.
Kwa hiyo hajadanganya bunge hata kidogo