Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Imewatimua Ramadhan wasso na Emmanuel gabriel, kisa? wanaihujumu timu
...Wamo pia Mussa Hassan Mgosi na Haruna Moshi (Boba) ni Utaratibu wa kiswahili wa kuendesha soka.Siamini sana kama wachezaji hao wanaweza kuhujumu timu ikafanya vibaya lazima kuna tatizo la msingi ambalo viongozi wanalikwepa kulitafutia ufumbuzi. Mara nyingi Simba wamekumbwa na tatizo la kushindwa kulipa mishahara wachezaji kwa wakati. Hufikia wakati mwingine wachezaji kudai malimbikizo ya mishaharaImewatimua Ramadhan wasso na Emmanuel gabriel, kisa? wanaihujumu timu