Hatuna raha wapenzi wa simba na jana nimesikia kiongozi mmoja akisema tumevamiwa na mafisadi daah hii sijui imekaa vipi au ndiyo tumechanganyikiwa....
he he he heeee, kwi kwi kwi kwi....mbavu zangu jamani eeeh, dah kweli mmeshikwa pabaya mwaka huu; l.o.l poleni sana watani.