TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,872
- 11,248
wewe hujaangalia mechi!!!Mna bahati sana nyie Simba....leo mlikuwa mnachezea kichapo.
wewe hujaangalia mechi!!!Mna bahati sana nyie Simba....leo mlikuwa mnachezea kichapo.
yanga 1-0 simba
duh,bora tumerudisha....kichwa kilishaanza kuuma.....go go Simba!!!!
dont tell me you have gone back to wheedHehehe simba leo walie tu!
Hehehe simba leo walie tu!
Nlidhani simba watasinzia dkk zilizokua zimebaki!dont tell me you have gone back to wheed
SIMBA 1 - YANGA 1, Mnabahati sana Yanga leo mlikuwa mfungwe nyingi.
aaahh howard webb... leo naona umekua refa tenaGoli la Mgosi lilikuwa offside,super sport wamenyesha live ,ingekuwa TV za hapa bongo ingekuwa ngumu sana kubaini ile offside
khe khe khe eheheheheeeeeeeeeeeeeeWenye bahati ni simba wazee!
khe khe khe eheheheheeeeeeeeeeeeee
Lizzy, i warned dear not to go aback to weed
daaayyyymmm... gimme some someHehehe...atleast it makes me see things clearly!Want some?
daaayyyymmm... gimme some some
on a serious noteGoli la Mgosi lilikuwa offside,super sport wamenyesha live ,ingekuwa TV za hapa bongo ingekuwa ngumu sana kubaini ile offside
View attachment 24379
hapo baadae
later on yanga watalizwa na mnyama mkali aliyoko town.
simba 3 yanga 1 ushindi lazima mtaa wa msimbazi
We subili mpira 90dk leo hatoki mtu lazima mvalishwe sketi
umebaki mda mfupi tu myama kuongoza ligi
Mnyama kwa sasa yupo juu.No doubt about it,Kichapo kwa Yeboyebo ni kama sala leo
ubest wa yanga upo wapi? Subirini kichapo cha haja na ubingwa unarudi msimbazi.
kusema ukwel simba bingwa yan bila tatzo.
Mimi naona kama Simba ndio wazuri kwa sasa na ndio watakaoshinda bila shaka
Wewe ulitakaje,unajua raha ya Simba na Yanga...je umati ulio kuwepo pale uwanja wa Taifa unaweza kuupata kenya au unganda kwa mechi za vilabu vyao?SHE-MBA bana
Kelele nyiiiiiiiiiingi nje ya uwanja, kama wamemeza Hard Disk Ya 10 Tera Byte yenye nyimbo za Khadija Kopa
Uwanjani wanageuka VILUI-LUI
Kusawazisha bao wameshangiliaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Sasa tunasubili mmeze Hard Disk ya 50 TB ya nyimbo za Bongo Fleva mtakapo cheza na TP Mazembe.
Najua mtawafunga TP Mazembe kwao 4 bila kwa midomo
Uwanjani ni kinyume chake
HONGERENI KWA SOKA LENU