Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,368
naona imebaki siku moja kuelekea mtanange wa watani hawa wa jadi.
may the best team win.
may the best team win.
all the best thenThe answer is clear, the best team is DAR YOUNG AFRICANS!
the answer is clear, the best team is dar young africans!
naona imebaki siku moja kuelekea mtanange wa watani hawa wa jadi.
may the best team win.
Mnyama kwa sasa yupo juu.No doubt about it,Kichapo kwa Yeboyebo ni kama sala leo
ubest wa yanga upo wapi? Subirini kichapo cha haja na ubingwa unarudi msimbazi.
Leo ni kichapo tu cha mbwa mwizi
kuna mwezako hajaoneka tangu mfunge goli 6, sasa na wewe usije ukapotea baadaeNipo katika kamati ya ufundi utaona mtanange we ikifika saa 10.20 wahi bar ukae karibu na luninga
Hujui kama Maji hatakuwepo...Watoto wa jangwani nawaaminia leo kazi moja tu kuchezea sharubu za mnyama