simba vs yanga

Vin Diesel

JF-Expert Member
Mar 1, 2011
9,088
6,368
naona imebaki siku moja kuelekea mtanange wa watani hawa wa jadi.
may the best team win.
 
Mimi naona kama Simba ndio wazuri kwa sasa na ndio watakaoshinda bila shaka
 
Yanga ingekuwa nzuri lakini kinachoiharibu ni pesa chafu zinazowatesa watanzania zitolewazo na wanaojiita wafadhili.
Juzi wamehonga baadhi ya watu kule Kagera ili washinde kihujuma mpaka ngumi zikawaka.

Binafsi naamini kuwa Simba ndiyo Timu nzuri kwa ujumla.
 
154700_169494963068788_100000248564093_486561_6196110_n.jpg
hapo baadae
 
Back
Top Bottom