"Simba ni mlinzi mzuri zaidi kuliko mbwa, ndo maana yanga tulimpa kazi atulindie nafasi yetu ya kwanza ya ligi kuu kipindi tupo safari ya kimataifa. Tunakushukuru Mtani kwa msaada wako" UTANI MWINGINE HUU UNAWEZA KUONGEZA IDADI YA WATU WENYE MAPENGO NCHINI