Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
dakika ya 30, yanga inapata kona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana,Mbona kimya Mpira Umekwisha?
Hapana,
Mpira unaendelea na dakika zilizosalia ni kidogo nisingependa kutaja maana mashabiki wa Yanga wanaeweza kupasua laptops zao
Hapana,
Mpira unaendelea na dakika zilizosalia ni kidogo nisingependa kutaja maana mashabiki wa Yanga wanaeweza kupasua laptops zao
Hahahaha,Vijembe hivyo Mazee! Hukwenda kwenye birthday kutuwakilisha kama CEO wa JF kwi kwi kwi!
Taifa Mpya Si Kuna mitaaa Kibao Waziwashe hatutaki Kisingizio Lakini Zikamilike 90Ebana giza limeingia...
Kushiriki CAF si jambo dogo mpwa, wacha tuongee mkuu wangu.Mhhh Leo Watu Wataongea saaaana
Tehe Tehe CAF tu Utashiriki Wala hakuna Shida ha ha ha ha...Ila safari hii sijui watakuja nani Labda pamela maana Stella hatuwawezi LOL!Kushiriki CAF si jambo dogo mpwa, wacha tuongee mkuu wangu.
Full kujiachia
Mhhh Leo Watu Wataongea saaaana
HeheheheTehe Tehe CAF tu Utashiriki Wala hakuna Shida ha ha ha ha...Ila safari hii sijui watakuja nani Labda pamela maana Stella hatuwawezi LOL!
Jerry Tegete anasawazisha dakika za majeruhi
Dakika ya 92 inakwenda hiyo... Dah
YANGA WAMESAWAZISHA!
Jerry Tegete anasawazisha dakika za majeruhi