Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,139
habari zilizotufikia hivi punde zinasema yule mzee wetu wa kutabiri sheikh yahaya hussein ameitabiria ushindi timu ya yanga kwa mabao 2-1 huku mchezaji mmoja kutolewa kwa kadi nyekundu bila kutaja upande gani;kwenu msimbazi mganga wenu amesemaje:;;;