Kilakshari
JF-Expert Member
- Dec 13, 2008
- 350
- 20
tumekoswakoswa, jamaa kapiga mpira juu ya mwambaangrrrrr...huyo nae kapeleka bangi uarabuni......
tumekoswakoswa, jamaa kapiga mpira juu ya mwambaangrrrrr...huyo nae kapeleka bangi uarabuni......
amempiga kipepsi mchezaji wa setif wanakaanza zogo .refa hakuona ila kibendera akamamrifu refa wote wamepewa kadi huku mwingine akipata ya njano. ilikuwa ndani ya sita. bado simba wanashambuliwa sanaangrrrrr...huyo nae kapeleka bangi uarabuni......