Simba vs setif live hapa

angrrrrr...huyo nae kapeleka bangi uarabuni......
amempiga kipepsi mchezaji wa setif wanakaanza zogo .refa hakuona ila kibendera akamamrifu refa wote wamepewa kadi huku mwingine akipata ya njano. ilikuwa ndani ya sita. bado simba wanashambuliwa sana
 
dakika ya 33 milango bado migumu simba bado0 hawajafanya shambulizi la maana
 
jamani hiki tunachoandika hapa ndicho kipo ground. hali siyo nzuri
 
Back
Top Bottom