....Magazeti yetu yanadai mechi ilichezwa jana....ama hakika waTZ bado hatujajipanga katika medali nzima ya soka!!naona watacheza leo jioni,ngoja tusubiri tuone
Nani mkweli jamani??....Yebo yebo wapo hapa nini??
0 - 0, mechi imekwisha.Mechi itakuwa imeisha ni nagpi ngapi full time?
Safi sana good result for us Yanga to cover points maana Simba wana points 45, and Yanga tuna points 40 with a game at hand0 - 0, mechi imekwisha.
Kila la kheri na Azam kesho.................Safi sana good result for us Yanga to cover points maana Simba wana points 45, and Yanga tuna points 40 with a game at hand
Sababu azam ni tawi la simba, watakaza sana mwisho watalegea. Ligi bado mtani usishangilie kablaKila la kheri na Azam kesho.................
Kesho mnatoka sare na azamSafi sana good result for us Yanga to cover points maana Simba wana points 45, and Yanga tuna points 40 with a game at hand
Kesho mnatoka sare na azam