nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Kama simba kafa kwa droo, Yanga atakuwa ameoza kabisa maana kashakula vichapo viwili na droo moja
Yanga Imeshindwa UGENINI... Hamjaenda Kwao Kagera kama YANGA na huko Morogoro...
Kwanini kuandikia MAJI wakati WINO UPPOO????