ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
azam hawana experience ya ku-handle pressure ya kwenye run-in stage.
wata-recoil where/when it matters kama ilivyowatokea last season.
hata mbuyu ulianza kama mchicha..
azam hawana experience ya ku-handle pressure ya kwenye run-in stage.
wata-recoil where/when it matters kama ilivyowatokea last season.
Jamani matokeo ya mwisho bado?
mechi zao mbili marefa wamepigwa inadaiwa wanahonga sana marefa...
Simba 3 na JKT Ruvu 0
Kagera 1 na Yanga 0
Hongera Mnyama, Poleni Wanazi wa Yanga mnaotembelea uzi huu.
Simba bado Pointi 4 wajihakikishie kuchukua ndoo!
Shija mkina mchezaji wa simba aliepelekwa kagera kwa mkopo....
Bado Moro United na Yanga wakati mpinzani wetu kwa sasa yaani Azamu bado Mtibwa Sugar, Toto Africa mechi yake ya tatu sii kumbuki...
rip yanga ndio mwisho msimu huu..