nadhani hali ya hewa ya joto imewaathiri waarabu,Simba wajiandae kucheza ktk hali ya hewa ya baridi kali mechi yao ya marudiano huko Algeria. Hongera Simba!Ila Simba wasibweteke wakienda arabuni wacheze kwa kasi watafute bao la ugenini la mapema la sivyo Waarabu hawaeleweki watawashushieni mvua