Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Azam wanapata kona na kupiga lakini haina madhara yoyote langoni mwa Simba.
Acha unazi, anafunga bao zuri sana kwa kichwa.
Refa hajaona alizidi kidole huyu refa Israel Mkongo wenu tunalijua hilo
Tunawajua washabiki wa Yanga hamuachagi kulalama,ngoma dk tisini.
Tunawajua washabiki wa Yanga hamuachagi kulalama,ngoma dk tisini.
Leo mtachezea kichapo mkijitahidi ni droo
Arusha vipi mazee??? Lete matokeo.
Mtani beki huna
Arusha vipi mazee??? Lete matokeo.
Zikisha pita dk.30 hamjatupia nahesabu droo au mnapigwa
kulikoni mbona kimya?
Arusha bila bila, sema sasa. Azam keshaelekea kibra hilo halina shaka.
Bado moja moja mazee