Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 659
Hv mechi ya Simba vs Al
Ahly Shendi ni saa ngapi?
Na je,inaweza kuonyeshwa
na channel yeyote hapa Tz?
Ahly Shendi ni saa ngapi?
Na je,inaweza kuonyeshwa
na channel yeyote hapa Tz?
Penalt kwa simba
Simba wanakosa penalti duuuh!mungu tuzaidie dkk ya 44
Huuu haaa!!...
Simba wanakosa penalti duuuh!mungu tuzaidie dkk ya 44
Ni nani aliyekosa penati??Simba wanakosa penalti duuuh!mungu tuzaidie dkk ya 44
MafisangoSimba wanakosa penalti duuuh!mungu tuzaidie dkk ya 44
Al Ahly timu piga simba bao 8 bila.Salamu ziwafikie Ismail Aden Rage na wachukia simba wote.Mungu ibariki Al ahly.
Okey, nimesikia kuwa ni Mafisango....nani kakosa hiyo penalt
Siasa zimetawala sana soka letu...wazee.... yani na maisha yote ya leo mnakabidhi timu kwa vile vizee vichawi
Kama ifuatavyo: Juma Kaseja, Said Chollo, Amir Maftah, Shomari Kapombe, Kelvin Yondan, Patrick Mafisango, Uhuru Selemani, Mwinyi Kazimoto, Felix Sunzu, Haruna Moshi na Emmanuel Okwi.Okey, nimesikia kuwa ni Mafisango....
Nani anayejua list ya simba ikoje??