Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
Goooooooooooooooooooooooooooool
Dakika ya 57 Mgosi anaandika goli la tatu
Simba 3 Prison 0
Heeeheheeeee...kama emirateeeeeee....!
Goooooooooooooooooooooooooooool
Dakika ya 57 Mgosi anaandika goli la tatu
Simba 3 Prison 0
Heeeheheeeee...kama emirateeeeeee....!
Heeeheheeeee...kama emirateeeeeee....!
Bado mechi ngapi tutangaze ubingwa?
Asante kwa takwimu za kuufikia ubingwa bra, hizo 55 chache sana kwa mnyama hata wakitaka 65 zinapatikana tuTuna point 39 ili kujihakikishia tunapaswa kuwa na point 55 bila kuangalia matokeo ya yebo yebo na Azam..
Matokeo mazuri sana haya, mnyama kila siku hakuna wa kumzuiaMpira umekwisha simba 3 Prisons 1..
tuko pamoja mzeeAsante kwa takwimu za kuufikia ubingwa bra, hizo 55 chache sana kwa mnyama hata wakitaka 65 zinapatikana tu
yeah!! tukipata time tunaenda uwanjani kuipa timu sapoti angalau one day inaleta morali sana kwa wachezaji wetutuko pamoja mzee
Mpira umekwisha simba 3 Prisons 1..