Ukiona kimya ujue mnyama kaliwa. Simba akishinda ungeshaona kiherehere hapa jamvini
Mkuu Simba sio timu ya blogs na magazeti, nenda uwanjani ukaone vitu vya ukweli na sio kusubiri kina michuzi wakuwekea matokeo.Hata kwa Michuzi hamna kitu. Ingekuwa wanaongoza tayari kungekuwa na picha lukuki! Ya Yanga jana kwa vile kashinda kimya. Kaiweka leo kiduchu na kuitoa haraka. Za bwawa la maini zinakaa hata week!
Mkuu Simba sio timu ya blogs na magazeti, nenda uwanjani ukaone vitu vya ukweli na sio kusubiri kina michuzi wakuwekea matokeo.
Kwani lini ilikuwa timu ya blogs?Leo imekuwa sio ya blogs tena. Au inategemea matokeo?
Express si walicheza jana! Kwa uchovu wa kucheza jana leo walitakiwa wafungwe mabao mengi sana.
Mbona kimya,tupeane updates wanasimba tv wenzangu! Usajili umetishaje?
...kandambili bana, tangu wapigwe mkono bado akili zao zimedumaa hadi leo. Jana eti ohh Chuji sasa kama Pirlo, mara washageuka soka la brasil na hiyo ni mechi moja tuu ambayo wamemwona Barthez sasa ni kipa bora wa dunia !!
Kwani lini ilikuwa timu ya blogs?
Unambamizaje mtu unaye cheza naye mechi ya kirafiki?
Niliwatangazia kupitia blog gani?, au unachanganya kati ya blog na website?Siku ile ulivyotutangazia ile mechi mliyoshinda dhidi ya Toto sijui team ya Kombania ya Shinyanga kule Shinyanga,inamaana umesahau Mkuu?