Simba sc: Utapeli wa kisoka wa MBUYU TWITE

mwakitundilo

Member
Aug 15, 2012
28
7
Nimeudhishwa sana na kitendo cha kitapeli na kisichokuwa cha kiuanamichezo kilichofanywa na mchezaji MBUYU TWITE wa APR ya Rwanda. Mchezaji huyu alisajiliwa na Simba SC kutoka APR, lakini katika hali ya kustaajabisha mchezaji huyu akiwa kishalipwa kitita cha USD 30,000 kaamua kusajili pia YANGA. Nawashauri wanachama, viongozi, mashabiki na "wazee" wa Simba kumtia adabu mkongoman huyu ili awe fundisho kwa wachezaji wengine wenye tabia kama hiyo. Adhabu ninayopendekeza ni kumshusha shipa naamini "wazee" wangu wa Simba hili liko ndani ya uwezo wenu. NAWASILISHA
 
Siamini jf imeingiliwa na waganga wa kienyeji kwa kwelii waaminio sanamu za michellin loh
 
Nimeudhishwa sana na kitendo cha kitapeli na kisichokuwa cha kiuanamichezo kilichofanywa na mchezaji MBUYU TWITE wa APR ya Rwanda. Mchezaji huyu alisajiliwa na Simba SC kutoka APR, lakini katika hali ya kustaajabisha mchezaji huyu akiwa kishalipwa kitita cha USD 30,000 kaamua kusajili pia YANGA. Nawashauri wanachama, viongozi, mashabiki na "wazee" wa Simba kumtia adabu mkongoman huyu ili awe fundisho kwa wachezaji wengine wenye tabia kama hiyo. Adhabu ninayopendekeza ni kumshusha shipa naamini "wazee" wangu wa Simba hili liko ndani ya uwezo wenu. NAWASILISHA
hahahahahah.....
 
Nimeudhishwa sana na kitendo cha kitapeli na kisichokuwa cha kiuanamichezo kilichofanywa na mchezaji MBUYU TWITE wa APR ya Rwanda. Mchezaji huyu alisajiliwa na Simba SC kutoka APR, lakini katika hali ya kustaajabisha mchezaji huyu akiwa kishalipwa kitita cha USD 30,000 kaamua kusajili pia YANGA. Nawashauri wanachama, viongozi, mashabiki na "wazee" wa Simba kumtia adabu mkongoman huyu ili awe fundisho kwa wachezaji wengine wenye tabia kama hiyo. Adhabu ninayopendekeza ni kumshusha shipa naamini "wazee" wangu wa Simba hili liko ndani ya uwezo wenu. NAWASILISHA
hii inaonyesha wazi kuwa hii nchi haifuati sheria na sijui tutakuwa tumeiga hii tabia kutoka wapi (Somalia???)
Nina uelewa mdogo wa masuala ya sheria lakini nachojua ni kuwa kama mtu akivunja mkataba halali (na kwa jinsi nilivyouona wa Simba/Twite kwenye Mwanaspoti) basi shhria zinafuatwa. Sasa inakuwaje watu wanaendelea kupiga kelele kwenye media?
Na kuonyesha wazi kuwa hii nchi imeshaalibikiwa, mleta topic anaongelea mambo ya 'kushusha shipa'!!!!!
Kweli kwa mwendo huu tutawapata watanzania wa kumzuia Mbunge asilipwe 10m kwa siku??? ...au kumwajibisha waziri/mwenyekiti wa kijiji????

Kuna haja ya kubadili wimbo wa taifa maana inaelekea "Mungu ibariki Tanzania" haijafanya kazi!!!!

 
Mkuu mi naungana na wewe asilimia 100, hiyo ndiyo itakuwa dawa ya kudumu ya kupambana na wachezaji wenye tabia za kimalaya kama mbuyu twite.
Nimeudhishwa sana na kitendo cha kitapeli na kisichokuwa cha kiuanamichezo kilichofanywa na mchezaji MBUYU TWITE wa APR ya Rwanda. Mchezaji huyu alisajiliwa na Simba SC kutoka APR, lakini katika hali ya kustaajabisha mchezaji huyu akiwa kishalipwa kitita cha USD 30,000 kaamua kusajili pia YANGA. Nawashauri wanachama, viongozi, mashabiki na "wazee" wa Simba kumtia adabu mkongoman huyu ili awe fundisho kwa wachezaji wengine wenye tabia kama hiyo. Adhabu ninayopendekeza ni kumshusha shipa naamini "wazee" wangu wa Simba hili liko ndani ya uwezo wenu. NAWASILISHA
 
Mwafrika anayejifanya hajui juu ya uwepo wa waganga wa kienyeji ni mwongo. Science hii ipo ukitaka omba uoneshwe kazi.
Kamuulize David Rudisha na MacDonald Malliga wanatumia sayansi gani!! ...hata kijana wetu Mbwana Samatta
 
Twite hakutenda haki, inaonyesha wazi kuwa amejawa na tamaa, lakini akae akijua kuwa unapozingumzi soka la bongo ni Simba na Yanga na ndo zenye mashabiki wengi hapa nchini miongoni mwao wapo waungwana na wengine cyo waungwana wasi wasi wangu ni kwamba asije akapata madhara toka kwa baadhi ya mashabaki tunaowaita ma BANDIDU, Club yake imesema itampa ulinzi mkubwa kuhakikisha anakuwa salama siku zote lakini hii haitoshi maana hata yeye hatakuwa huru kuishi na kufanyakazi hapa Bongo. Chamsingi ni kwamba hivi vilabu viwili vikae na vielewane juu ya hili jambo maana nasikia hata mzaziwake ameshasema hayuko tayari kumleta mwanae aje huku mpaka huu utata utatuliwe kwanza.
 
Join Date : 15th August 2012

Posts : 4
Rep Power : 0
Likes Received 0

Likes Given 3


Karibu JF. Pili angalieni sana huyu msomali anawauza kwa bei chee mno.
 
Twite hakutenda haki, inaonyesha wazi kuwa amejawa na tamaa, lakini akae akijua kuwa unapozingumzi soka la bongo ni Simba na Yanga na ndo zenye mashabiki wengi hapa nchini miongoni mwao wapo waungwana na wengine cyo waungwana wasi wasi wangu ni kwamba asije akapata madhara toka kwa baadhi ya mashabaki tunaowaita ma BANDIDU, Club yake imesema itampa ulinzi mkubwa kuhakikisha anakuwa salama siku zote lakini hii haitoshi maana hata yeye hatakuwa huru kuishi na kufanyakazi hapa Bongo. Chamsingi ni kwamba hivi vilabu viwili vikae na vielewane juu ya hili jambo maana nasikia hata mzaziwake ameshasema hayuko tayari kumleta mwanae aje huku mpaka huu utata utatuliwe kwanza.

Ha ha ha ha ama kweli JF is a mix of vitu vingi(some of them include sh*t)...
Sijaelewa hapa,hivi unapendekeza hivi Vilabu vikae vielewane juu ya suala la Twite ama Yondani?,manake kama Twite hata jina lake halijapelekwa na Simba,sasa sijui wakae kuelewana nini?
 
Ha ha ha ha ama kweli JF is a mix of vitu vingi(some of them include sh*t)...
Sijaelewa hapa,hivi unapendekeza hivi Vilabu vikae vielewane juu ya suala la Twite ama Yondani?,manake kama Twite hata jina lake halijapelekwa na Simba,sasa sijui wakae kuelewana nini?

Ishu ni kwamba Simba wameshakubali matokeo juu ya huyu mchezaji Twite ila kinachowatia hasira ni kwamba mchezaji ametuma mtu arudishe zile pesa kwa simba lakini simba wamekataa kuwa wanataka mchezaji mwenyewe aende akaonane nao ana kwa ana, mbaya zaidi mchezaji hapatikani kwenye cmu, suala la Yondani tusubiri maamuzi ya tff ndo tutajua matokeo kamili.
 
Join Date : 15th August 2012

Posts : 4
Rep Power : 0
Likes Received 0

Likes Given 3


Karibu JF. Pili angalieni sana huyu msomali anawauza kwa bei chee mno.

Acha usen kwani wewe, nani kakupa kazi ya kujidai kukaribisha watu kama hujui kitu funga masaburi yako..Kwa hiyo Yanga mnauzwa na nani au mmenunuliwa na nani?
 
Acha usen kwani wewe, nani kakupa kazi ya kujidai kukaribisha watu kama hujui kitu funga masaburi yako..Kwa hiyo Yanga mnauzwa na nani au mmenunuliwa na nani?

Hahahahahaaaa!!!!!! usitake ncheke ati....
Mkuu wangu matusi ni dalili ya kuishiwa hoja.....
After all sijaona tusi jipya hapo kajipange kwanza.
Nimeamini tungemchukua na Okwi Klabu ingevunjwa rasmi..
 
Hahahahahaaaa!!!!!! usitake ncheke ati....
Mkuu wangu matusi ni dalili ya kuishiwa hoja.....
After all sijaona tusi jipya hapo kajipange kwanza.
Nimeamini tungemchukua na Okwi Klabu ingevunjwa rasmi..
Matusi ni nini?
 
Yule Hatacheza Soka hata Tanzania. Nawahakikishia HATACHEZA kwa mbinu yoyote ile.. Hatacheza!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
...Nimeamini tungemchukua na Okwi Klabu ingevunjwa rasmi..
Ningeshangaa kama mjadala huu ungefungwa bila jina la Okwi kutajwa. Kwa kweli itachukua muda mrefu sana kwa wana Yanga kumsahau Okwi. 5 - 0 kwa timu yenye hela kama Yanga ni nyingi mno

 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom