MTUNZA AMANI
Senior Member
- Jun 2, 2012
- 187
- 21
Kwa kuwa simba inaongozwa na mwanasiasa mambo yake yote katika club ya simba anayaendesha kisiasa,hatoi ushirikiano na viongozi wenzake,kauli zake ni za kukurupuka,itakuwa vema kama atafanikiwa kutofautisha shughuli za bunge ambazo zinaendeshwa kisiasa na shughuli za mpira ambazo zinaendeshwa kivitendo zaidi,kwa hiyo Rage uwe makini vinginevyo utatuangushia club yetu.