Simba oyeeee

Simba 5, CCM 0 ahahahahahahahaaaaaaa!!!!!!!!!!naona kuna ndala zinang'aka sana humu pasukeni tu.
 
Tumerudisha 5 zao walizotupiga. Sasa kazi kwao kurudisha zile 6 tulizowachabanga.
 
Simba na sisi tunakera sana, Yanga wakija kushangilia wageni tunawafunga wanaondoka vichwa chini, wakija kujishangilia wenyewe tunawapiga kipigo cha mbwa mwizi. Sasa tunataka wasije uwanjani au? Aaaarghh
 
Simba na sisi tunakera sana, Yanga wakija kushangilia wageni tunawafunga wanaondoka vichwa chini, wakija kujishangilia wenyewe tunawapiga kipigo cha mbwa mwizi. Sasa tunataka wasije uwanjani au? Aaaarghh

walikuja kiovu wakawashangilia,,,wakaja E ,S SETIF WAKASHANGILIA,WAKAJA ALHILALY SHANDI WAKASHANGILIA...LAKINI MWISHO WA MCHEZO WANATOKA VICHWA CHINI KWA KIPIGO KINACHOTOLEWA NA MNYAMA.
 
Yanga timu ya vibabu vya darisalama na wachezaji wazee ndo maana wamecheza kizeezee na tumewakomesha,simba OYEEEEEE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom