*Tumerudisha 5 zao walizotupiga. Sasa kazi kwao kurudisha zile 6 tulizowachabanga.
Simba na sisi tunakera sana, Yanga wakija kushangilia wageni tunawafunga wanaondoka vichwa chini, wakija kujishangilia wenyewe tunawapiga kipigo cha mbwa mwizi. Sasa tunataka wasije uwanjani au? Aaaarghh
Jibu hapo kwenye Red bila au?Imenishangaza yanga kufungwa 5 kavu. Ni timu mbovu au?