haya yanga leo yamewakuta simba oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!
unaeuliza ngapi ngapi ni 5 -0
unaeuliza ngapi ngapi ni 5 -0
unaeuliza ngapi ngapi ni 5 -0
Kuku wa kienyeji.......Jamani JF tunaomba uzi wa heshima yetu ili watani wetu watupongeze, kwa kuchukua kombe na kuwapa kipigo cha mbwa mwizi.
Jamani JF tunaomba uzi wa heshima yetu ili watani wetu watupongeze, kwa kuchukua kombe na kuwapa kipigo cha mbwa mwizi.