Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,878
Hahaha,Simba wanabebwa, hamna lolote.
Haya bana... Machela gani hiyo inayowabeba Simba mkuu?
Refa mwenyewe ni Yanga pyua!
Hahaha,Simba wanabebwa, hamna lolote.
Ebana kuna kijana anaitwa Okwi anawatesa sana Yanga... Kazi kwelikweli
nitake radhi bana huwezi kunifananisha na chama la mkulu na manji
ahahhahahhahahh!!!!!!!!!!!Nani kakuambia Manji Yanga? Jamaa ni mnyama mpaka mkia! kule anazima soo tu..
Yanga CCM,Simba CUF
Kwanza naanza na mshangao, kaka INVISIBLE, mbona sura tuliyozoea kukutambua nayo umeibadilisha. Mbona hivyo tena, au kuna hacker kaingia jamvini na kuteka wasifu wako??? Ni mshangao na hisia tu!!!
Huyo kijana Okwi kwa nini awatese Yanga, kwani wakati wa matayarisho hawakuwa wanamjua na kumuweka mezani kumjadili na kupanga tactics za kumdhibiti. Timu zetu zapaswa kucheza mpira wa kisayansi kwa akili, na kupunguza kwenda kichwa kichwa kwa kutegemea misuli.
ahahhahahahhahahaha kwanini isiwe yanga ccm :simba cuf ,chadema,tlp,ppt maendeleo,invisible,etc..Yanga CCM,Simba CUF
ahahhahahahhahahaha kwanini isiwe yanga ccm :simba cuf ,chadema,tlp,ppt maendeleo,invisible,etc..
Ma Mdogo,Kwanza naanza na mshangao, kaka INVISIBLE, mbona sura tuliyozoea kukutambua nayo umeibadilisha. Mbona hivyo tena, au kuna hacker kaingia jamvini na kuteka wasifu wako??? Ni mshangao na hisia tu!!!
Huyo kijana Okwi kwa nini awatese Yanga, kwani wakati wa matayarisho hawakuwa wanamjua na kumuweka mezani kumjadili na kupanga tactics za kumdhibiti. Timu zetu zapaswa kucheza mpira wa kisayansi kwa akili, na kupunguza kwenda kichwa kichwa kwa kutegemea misuli.
Simba wanatisha jamani
sO KUFELI KWA CCM NDO KUSHINDWA KWA yANGA MIAKA YOTE AHAAAAAAAAAA