Kuna nyepesi nyepesi kibao zimeenea kuwa simba inamtaka Jerrison tegete,
Msemaji wa Yanga amekanusha taarifa hizo ila simba wamekaa kimya..kuna msemo usemao ukiona kimya ujue kweli..Je simba mnataka tuamini kwamba kweli mnamuwinda tegete na kummezea mate???hebu kanusheni basi na nyie.
Msemaji wa Yanga amekanusha taarifa hizo ila simba wamekaa kimya..kuna msemo usemao ukiona kimya ujue kweli..Je simba mnataka tuamini kwamba kweli mnamuwinda tegete na kummezea mate???hebu kanusheni basi na nyie.