demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Manji asipolipa itabidi mchange. Na kumbuka ni deni .Anadai bilioni 11 alizowakopesha. Chirwa si mchezaji hata wa millioni 20.Aliyetoa kaingizwa chaka big time.
CHIRWA:
Amecheza mechi chache! Mabao mengi
MAVUGO:
Amecheza mechi nyingi! Mabao machache.
anza kutathmini mchezaji wako(Mavugo) kwanza akisha kaa sawa na kupata lolote la kujigamba mbele ya Obrey ndio uje hapa tujibizane kuhusu hili..