Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Ama kweli "MASKINI AKIPATA ****** HULIA MBWATTAH!!" yaani Rage kuchukua ubingwa wa Ligi ya Vodacom tu ka'organize na sherehe kabisa nafikiri anajua kuwa hatachukua tena kwahiyo wacha tumuache asherehekee.
By the way mimi bado nalia na Rambirambi za Mafisango pamoja na PPF/NSSF zake nasema hiyo laana ndo itakayowamaliza Simba.
By the way mimi bado nalia na Rambirambi za Mafisango pamoja na PPF/NSSF zake nasema hiyo laana ndo itakayowamaliza Simba.